AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nasemaje bim'danga Mama Chibu Ndo kishasema Mjengo wa Madale anaumiliki yeye, na wale waliokua wakimsimanga kuwa awapishe Kina chibu Na Zari kwenye Mjengo washindweeee, bi Maza anasema wataondoka wao Na wajukuu ila yeye wa hapahapa haondoki ng'ooooooo, Hiyo imekuja baada ya kukumbusha kauli ya Diamond kabla hajatoka ya kuwa nyumba ya kwanza kujenga itakuwa zawadi kwa mama.....
Msikilize Mama Diamond Hapa Chini:
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Du mama diamond kakonda sana hata kama ni nyumba yako ulipewa kama zawadi lakini si ulishahama
ReplyDeleteDiamond mpe mama hela akanunue chips mayai ale na ashushie na bia ale anenepe sababu kakonda sana mpaka inatia aibu
ReplyDeleteHalafu hilo wigi sasa. Hahahahaa
ReplyDeleteMswahili,umeula wa chuya mama,tuonyeshe hati basi.
ReplyDeletehilo wigi limempendeza kweli kweli, not! he he he he
ReplyDeleteHivi huyu mama ana washauri wa nini avae na nini asivae?? Hahaha
ReplyDelete