Mkenya Aibuka Mshindi wa Maisha Plus

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Olivie Kiarie wa Kenya ameibuka mshindi wa shindano la Maisha Plus. Fainali za shindano hilo zilifanyika mwishoni mwa wiki.

Ushindi huo umempa Olive kitita cha shilingi milioni 30 za Kitanzania.

Shindano la Maisha Plus lilishirikisha nchi za Afrika Mashariki.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mambo mengine bwana yanatakiwa yawe ni ya watoto wa nyumbani sasa unapotoa chakula chako unawapa wageni wakati nyumbani kuna njaa!! haingii akilini hata kidogo!!! Huko ni kutaka sifa!! nilikuwa naona matangazo ya bahati nasibu ya nchi za nje wanaweka wazi kabisa hii ni kwa ajili wa watanzania tu(mfano).

    ReplyDelete

Top Post Ad