Rose Ndauka Atetea Kuvunjika Kwa Ndoa Yake...Adai ni Tatizo la Jamiii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Malkia wa filamu Rose Ndauka amewataka watanzania kujua kuvunjika kwa ndoa sio tatizo la wasanii wa filamu pekee bali ni tatizo la jamii nzima.

Mwigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwae, Naveen amesema kwa sasa yeye bado yupo yupo kuingia kwenye maisha ya ndoa.

“Ndoa ni makubaliano ya watu wawili, mimi bado nipo nipo kidogo,” Rose alikiambia kipindi cha Uhondo cha EFM “Tusiwatazame tu bongo movie hata kwenye jamii ya watu wa kawaida ndoa hazidumu zinavunjika,”

Mwigizaji huyo mwaka uliopita aliachana na mpenzi wake aliyezaa naye mtoto mmoja mwenzi mmoja kabla ya tarehe waliotangaza kufunga ndoa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad