TID Aituhumu Clouds FM Kuuza wimbo ‘Zeze’ Marekani Bila Makubaliano (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii mkongwe wa muziki Khalid Mohamed aka TID ameingia kwenye mgogoro na kituo cha redio cha Clouds FM baada ya kukituhumu kituo hicho kimejiingizia fedha kwa kuhadaa wao ndio waliotayarisha wimbo wa Zeze.

Muimbaji huyo ametoa tuhuma hizo kupitia mtandao wa kijamii wa istagram pamoja na kuweka kielelezo cha kava ya CD ambacho amedai amekipata nchi za nje.

Kupitia instagram, TID alipost picha (hapo juu) na kuandika:
HII NI DHULUMA YA WAZI WAZI HUU WIMBO UMEFANYIKA KWELI CLOUDS MALIPO YOTE YAMELIPWA CLOUDS….BRAZA RUGE NAOMBA HELA ZANGU hivi Clouds FM mshawahi Kutenengeneza Zeze Song. .!? I WANT MY MONEY SHOW ME CONTRACT naomba Hakuna Yangu Sikuogopi I want Clouds FM kwa Kudanganya hivi wanilipe Milioni Mia Tano ….Ushapata Pesa Nyingi Sana Hauna Haja ya kuendelea,My Legal Team is Ready to Bring this Fake Institution Down


Bongo5 ilimtafuta TID na kuzungumza naye ili kujua ukweli kuhusu taarifa hizo na atachukua hatua gani ili kuisaka haki yake.

“Ile ni CD ambayo imeuzwa Marekani na duniani kote na yale ndio maelezo yake,” alisema TID. “Hiyo kazi ipo Mahakamani, naenda Mahakamani, kwahiyo nahitaji wanasheria ambao watapigana kupata haki yangu,”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Haahahha yu gat wat yu wanted...waandish viazi they deserve some matusi eww...we unaona imeandikwa clouds bado unauliza fyoko fyoko hahahhaha hv clouds wana nn mbona wanaogopwa mnoo

    ReplyDelete

Top Post Ad