AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema tayari amefikishwa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kusikilizwa rufaa yake.
Mawakili wa pande zote walikutana kwa jaji kupeana taarifa kabla ya kesi kuanza.
Ulinzi umeimarishwa mahakamani huku wafuasi wa Lema leo wametinga mahakamani na fulana nyeupe zimeandikwa Jutice 4 Lema mbele zikiwa na picha yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK