AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rufaa ya mbunge wa Arusha mjini Godbles Lema iliyopangwa kutolewa leo imeshindikana baada upande wa Jamhuri kuweka pingamizi ya kuwasilisha notisi badala ya rufaa, ambapo Mbunge huyo amerudishwa rumande kwa mara nne.
Upande wa Jamhuri ambao ulikuwa ukiwakilishwa na mwanasheria Matenus J Marandu ambaye amesema wamefanya hivyo ili kuharakisha na wamekubaliana na pande zote mbili.
Wakili wa Chadema Peter Kibatala amesema wameshakamilisha taratibu za kisheria kuhusiana na pingamizi hilo na wanasubiri pingamizi hilo lililowekwa na upande wa serikali.
Jaji aliyekuwa akisikiliza pingamizi hilo Fatma Masengi ameelekeza upande wa serikali wawasilishe hoja zao kwa njia ya maandishi kabla ya November 30 ili aweze kutolea uamuzi December 2 mwaka huu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mteseni lakini nyinyi SIO MUNGU, mtalipa TU SIKU moja
ReplyDeleteanateswa au anajitesa mwenyewe
Deletemaneno yake yamemponza
Mwiba wa kujitakia wala huambiwi Pole Dogo... Tena pole Sana na Ujirekebishe. Wewe hata Shule ulikuwa vile vile.. Hata sijui Dili gani ilikupeleka Kwenye Uhai. Je uko Hai? Hujulikani hata Kiki za mitandao unaboa Dogo. Unaona sifa Kula sembe yetu kiulaini.. Na malazi pia Bure? Unaona laha.. Tutaanza kukulipisheni.. Kula na Kulala itakuwa kwa malipo ... Hamna kula bila Kazi... HAPA KAZI TU
ReplyDeleteMwiba wa kujitakia wala huambiwi Pole Dogo... Tena pole Sana na Ujirekebishe. Wewe hata Shule ulikuwa vile vile.. Hata sijui Dili gani ilikupeleka Kwenye Uhai. Je uko Hai? Hujulikani hata Kiki za mitandao unaboa Dogo. Unaona sifa Kula sembe yetu kiulaini.. Na malazi pia Bure? Unaona laha.. Tutaanza kukulipisheni.. Kula na Kulala itakuwa kwa malipo ... Hamna kula bila Kazi... HAPA KAZI TU
ReplyDeletekweli apa kazi tuu
ReplyDeleteNyinyi hapo juu mnaotoa pumba kama wajinga kabisa inabidi mrudi shule mkasome. Hakuna kitu kibaya na cha hatari duniani kama ujinga usiofundishika. Unaua. Nawote watoa utumbo hapo ni wajinga kupindumia. Wamesomea mitini na hawana lolote. Taifa limelea wajinga miaka ishirini. Itakuwa vigumu sana kulikomboa taifa letu. Itachumua miaka mingi na inatia haya. Kufikiri ni shida kwa wengi.
ReplyDelete