CHATU Afa Baada ya Kumeza Mbwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

CHATU aliyemeza mbwa mkubwa katika Jimbo la Warri nchini Nigeria, majuzi alikufa baada ya tumbo lake kuvimba kupita kiasi na kupasuka wakati anataka kupita katika senge’nge kwenye fensi.

iSenge’nge hizo zilimnasa tumboni na kusabisha lipasuke na akafa hapohapo.

Mashuhuda aliyepiga picha tukio hilo aliziweka picha zake katika mitandao ya kijamii kama onyo kwa watu wenye tamaa za kupata fedha kuliko mahitaji yako ya kawaida.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad