DAVIDO Aupigia Promo Wimbo Alioshirikishwa na Diamond Nchini Ufaransa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Davido ameonyesha kuwa bado anaukubali wimbo wa Diamond aliowahi kumshirikisha ‘Number One Remix’.

Wakati akifanya onesho nchini Ufaransa kwenye mji wa Paris wikiendi iliyopita Davido aliucheza wimbo huo huku mashabiki waliohudhuria ukumbini hapo wakionekana kuimba pamoja na msanii huyo.

Hitmaker huyo wa ‘How Long’ ambaye atabaki kukumbukwa na Diamond kwenye maisha yake yote ya muziki ameendelea kuonyesha support kubwa kwenye wimbo huo ambao mpaka sasa umefanikiwa kutazamwa zaidi ya mara milioni 18 tangu ulipotoka miaka miwili iliyopita.

VIDEO:

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad