AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Kwa leo siwezi kuzungumza lolote kutokana na hali ilivyo, na namna jinsi watu wanavyoendelea kulizungumzia jambo hili lakini nitazungumza wakati ukifika na mtajua,” alisema
Dk Mwele kwa sauti ya uchangamfu.
Uteuzi wake ulitenguliwa Ijumaa usiku baada ya kutoa ripoti ya mwaka ya taasisi hiyo iliyoonyesha kuwa watu 80 waliofanyiwa utafiti waligundulika kuwa na virusi vya homa ya zika.
Taarifa ya utafiti huo ilionyesha kuwa kati ya watu 533 waliopimwa, 83 (asilimia15.6) walikuwa wameambukizwa virusi vya homa zika. Pia, kati ya watoto wachanga 80 waliozaliwa na ulemavu wa aina mbalimbali, asilimia 43.8 walikuwa wameambukizwa virusi vya homa ya zika.
VIDEO: Muigizaji Nisha bebee anywa mkojo wake kisa kumsahau mwanaume aliemuumiza moyo wake
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK