AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakuu hii kitu inazunguka sana kwenye "social media",kuwa huyu dada alikuwa mfanyakazi wa FNB,alifukuzwa na baadae kaamua kuingia kwenye mtandao wa majambazi uliotengeneza mchoro kwa kwenda kuiba kwenye bank hiyo.
Mchoro wake uligonga mwamba,na hatimaye polisi kuwathibiti.Binti anaonekana mrembo,mwenye haiba lkn yamemshinda na kuamua kujiripua kwa kuvamia bank....HATARI SANAAAA
VIDEO: TUNDU LISSU ASOMA MESEJI ZA VITISHO ALIZOTUMIWA SAANANE KABLA YA KUPOTEA
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK