AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika kesi hizo amesomewa mashtaka matatu, shitaka moja katika kila kesi.
Mashtaka hayo ni pamoja na kuendesha shughuli za mtandao wa kijamii bila kusajiliwa nchini na mawili ni kuzuia upelelezi.
Melo amefanikiwa kupata dhamana katika kesi mbili lakini akakwama katika kesi moja baada ya kushindwa kutimiza sharti la kupata wadhamini wawili na badala yake akampata mdhamini mmoja tu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK