AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jumla ya tuzi 9 zilizotelewa kwa wasanii mbalimbali waliofanya vizuri kwa mwaka 2016 ambapo tuzo moja ya heshima ilitolewa kwa mtu aliyekuwa na mchango mkubwa katika saanaa ya Tanzania na hivyo kufanya jumla ya tuzo 10. Tuzo hii ilitolewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye.
Hapa chini ni orodha ya washindi wa tuzo mbalimbali zilizotolewa usiku wa Desemba 10.
Tuzo ya Filamu Bora ya Mwaka- Safari ya Gwalu
Wimbo Bora wa Mwaka- Aje wa Ali Kiba
Video Bora ya Mwaka- Aje ya Ali Kiba
Tuzo ya Mwigizaji Bora wa Kiume- Salim Ahmed maarufu Gabo
Tuzo ya Mwigizaji Bora wa Kike- Chuchu Hans
Kundi Bora la Muziki- Navy Kenzo
Mwanamuziki Bora Chipukizi- Amani Khamis maarufu Man Fongo
Tuzo ya Heshima- Dj Bonny Love
Mwanamuziki Bora wa Kike- Judith Wambura maarufu Lady JayDee
Mwanamuziki Bora wa Kiume- Ali Kiba
Mwanamuziki Ali Kiba ameweka rekodi katika tuzo hizi zilizotolewa kwa mara ya kwanza baada ya kutwaa tuzo tatu ikiwa ni Video Bora ya Mwaka, Wimbo Bora wa Mwaka, na Msanii Bora wa Kiume.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hizi tuzo mbona km zina malengo maalum zinakosa balance hivi kwa sasa jide ni bora zaidi ya Vanessa nachooooka miee
ReplyDeleteJide ni muzik mwingine, huwez mfananisha na Vanesa.Hongera komando Jide
ReplyDelete