Q Chief Atoa Siri ya Wasanii Kutoacha 'Ngada'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii Q Chief amefunguka na kusema kuwa baadhi ya wasanii kushindwa kuachana na matumizi ya dawa za kulevya ni kutokana na wao wenyewe kutokubaliana na hali hiyo kutokana moyoni mwao.

Q Chief pia ametoa lawama kwa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijifanya kuwasaidia wasanii hao kuachana na madawa wakiwa na lengo la kutaka kunufaika nao kibiashara tu na si lengo la kweli kuwasaidia kuondokana na hali hiyo.

Q Chief anasema yeye alipitia kipindi kigumu zaidi kuachana na madawa hayo na alifanikiwa na mtu ambaye alimfanikisha kuachana na madawa hayo ni kijana kutoka mtaani ambaye aliweza kumbadilisha na kufanikiwa hivyo kijana huyo alifanya kazi kubwa ambayo serikali yake ilishindwa, mawaziri walishindwa na marafiki zake ambao walikuwa wakila bata na Q Chief walishindwa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad