AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Young amesema:
Kwa mara ya kwanza nimejisikia tofauti sana baada ya kumbeba tu mwanangu. Yaani nimejisikia tofauti hali ambayo sijawahi kuisikia wala kutegemea nitaisikia. Kwahiyo ni feeling mpya kabisa, yaani amenifanya nimepata kitu ambacho sijawahi kuwa nacho, nimepata kama nguvu hivi. Amenipa kila sababu ya kuamka asubuhi kwa kumfikiria yeye, chochote ambacho nakipata kinaenda kwa yeye. Yaani mpaka sasa hivi ameanza kubadilisha ratiba zangu, yaani kuna lifestyle ambayo naweza kuona ameshaweza kunibadilisha kwasababu kuna vitu ambavyo sivioni tena kuwa na umuhimu. Kuhusu uhusiano na mama yake ni uhusiano ambao uko vizuri sana sababu ni wa muda mrefu sijawahi kuacha kuwasiliana naye. Kwahiyo na hivi mtoto amezaliwa, nina uhakika utaimarika zaidi.
Mtoto wa Young Dee ni wa kike na anaitwa Tamar.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hongera sana yound dee mtunze mwanao aje akutunze!!!!
ReplyDelete