CCM Yaibuka Kidedea Uchaguzi Wa Marudio Jimbo la Dimani Zanzibar.Yaigaragaza CUF Kwa Kura 4860..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka kidedea katika uchaguzi wa ubunge Jimbo la Dimani, Zanzibar na kushinda viti vya udiwani katika maeneo mengi Tanzania Bara katika majimbo yaliyotoa matokeo yake mpaka jana usiku.

Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na vingine vilivyo nje ya umoja huo vimejikuta katika wakati mgumu katika uchaguzi huo mdogo.

CCM iliibuka mshindi katika uchaguzi wa Dimani uliotokana na jimbo kuwa wazi baada ya kifo cha mbunge wake Hafidh Ally Tahri kilichotokea Novemba mwaka jana mjini Dodoma, alikokuwa akihudhuria vikao vya Bunge.

Msimamizi wa uchaguzi katika Jimbo la Dimani, Fatma Gharib Haji alimtangaza mgombea wa CCM, Juma Ali Juma kuwa mshindi wa ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 4,860 dhidi ya mpinzani wake Abdulrazak Khatib Ramadhani wa CUF aliyepata kura 1,234.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad