Kudadeki..!!Kanisa la Anglikana Lamwandalia Adhabu Kali Askofu Mokiwa kwa Kuwa Mkaidi..!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana nchini, Jacob Chimeledya amesema watachukua hatua zaidi dhidi ya Askofu Valentino Mokiwa wa kanisa hilo Dayosisi ya Dar es Salaam kwa kuwa bado anaendelea kutoa huduma licha ya kutakiwa kujiuzulu.

Wiki tatu zilizopita Mokiwa aliandikiwa barua na Askofu Chimeledya akitakiwa kujiuzulu akidaiwa kuvunja miiko ya kanisa hilo na kutumia madaraka yake vibaya ikiwamo kufanya ubadhirifu wa fedha.

Hata hivyo, Dk Mokiwa amekuwa akikana tuhuma dhidi yake akisema mgogoro wa kanisa hilo ni wa kutengenezwa na adui zake.

Akizungumza kwa simu na Mwananchi jana, Askofu Chimeledya hakuzitaja hatua zitakazochukuliwa dhidi ya Askofu Mokiwa, akisema hakuna ulazima wa kuziweka hadharani hadi pale zitakapochukuliwa na kanisa hilo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad