AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zaidi ya watu 900,000 wamesaini petition ya kutaka kusitishwa kwa ziara ya Donald Trump nchini Uingereza kufuatia uamuzi wake wa kupiga marufuku waislamu kuingia Marekani
Na sasa wabunge wa House of Commons watalazimika kujadili ziara hiyo.
Mipango ya Trump kuzulu nchini Uingereza, ilitangazwa saa 48 zilizopita baada ya waziri mkuu, Theresa May kueleza kuwa Rais huyo ameukubali mwaliko toka kwa malkia.
Petition hiyo inadai kuwa Trump hapaswi kualikwa nchini humo kuepuka kumdhalilisha malkia. Uamuzi wa Trump kuzuia raia wa nchi 7 za Kiislamu kuingia nchini Marekani umepingwa vikali.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK