Mangwea Awatokea Cpwaa na Noorah,Wafunguka Alichowaambia ..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ikiwa sasa ni miaka minne na miezi kadhaa imepita tangu Rapa Albert Mangwea kufariki dunia, wasanii Noorah pamoja na Cpwaa kwa pamoja wamejikuta wakifanya mpango wa kuingia studio na kurudi na nguvu mpya wakidai kuwa ni maagizo aliyowapa ndotoni.

Hatua hiyo ni baada ya wakali hao kwa muda tofauti kumuota rappa huyo na kuamini kuwa huenda alikuwa anawakumbusha kuwa wanapaswa kurudi kwenye muziki na kumuenzi kwa kufanya kazi ya pamoja.
Alianza rapa Noorah kwa kupost picha ya Albert Mangwea na kusema alimuota na jinsi alivyokuwa wakizungumza ni kama alikuwa hai na kitendo kilichomfanya Noorah atamani kuona ile ndoto kama ingekuwa ndiyo uhalisia lakini haikuweza kuwa kwa kuwa ni ndoto tu.

"Nimekuota usiku wa leo (jana) mshkaji wangu. Ilikuwa 'too realistic' kama vile bado upo hai. R.I.P ndugu yangu" aliandika Noorah 

Baada ya hapo aliibuka Cpwaa na kudai hata yeye amemuota Albert Mangwea juzi hivyo ni kama rapa huyo anaongea nao, hivyo Cpwaa alimuomba Noorah warudi kwenye muziki kwani game ni kama imemiss sana ladha zao, hivyo Noorah alisema haina tatizo japo kwa muda huu bado anafanya matibabu kutokana na tatizo lake la kichwa, ila aliahidi kuwa atapita kwa Cpwaa ili wamalize kesi hiyo. 

"Bro huwezi amini I did as well jana! Daah bro is talking to us. Come back my brother game ime miss ladha zetu Babastylz jana nime request sana ngoma za Ngwea kiwanja flani" alisema Cpwaa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad