AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kuna athari kubwa sana zinazotokana na utafunaji wa bigijii (chewing gums) kwa muda mrefu
Utafunaji huo husababisha tumbo kuzalisha acid ya kutosha likifikiri kuna chakula ambacho kinatafunwa tayari kumezwa. Kitendo cha kutafuna bigijii husisimua seli linazozunguka ukuta wa ndani wa tumbo kutengeneza juisi (digestive juice) ambayo husaidia kwenye mmeng’enyo wa chakula.
Hii ni njia asilia ambayo husababisha chakula ambacho kimetafunwa kuanza kumeng’enywa punde tu kinapofika tumboni. Kwahiyo utafunaji wa bigijii (chewing gums) husababisha uzalishaji wa aside isiyo na ulazima. Hii ni habari nmbaya kwa walaji wa bigijii kwani aside hii huongeza athari za kupata vidonda vya tumbo.
Lakini risk ni ndogo sana labda uwe unatafuna bigijii (chewing gums) nyingi sana kwa siku, kwahiyo ondoa hofu labda uwe kocha wa mpira wa miguu (football coach).
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK