AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa bongo fleva Ben Pol amesema hayupo tayari kuelezea sababu ya kuachana na mwanadada ambaye walifanikiwa kupata mtoto mmoja aliyepewa jina la Mali
Akiongea kupitia eNewz Ben Pol amesema kwa sasa hayupo tayari kabisa kuongelea swala la mwanamke ambaye kwa sasa wameachana na hayupo tayari kumuelezea mtoto wake na endapo mtu yeyote atahitaji kufanya mahojiano kuhusiana na mtoto wake asubiri mtoto akue ili aweze kumuhoji kuhusiana na maisha yake.
Mtazame hapa:-........
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mpumbavu nn sasa kwan angejibu mtoto yupo vzr na mama yake angepungukiwa nn mixeeeww ustaa mavi tu...
ReplyDeleteNILIKUWA NAKUONA MWANAMUZIKI MSOMI KUMBE BOYA KWANI KUWA NA MTOTO NI DHAMBI WAKATI NDIO UNATAKIWA UJIDAI KUWA WEWE NI MWANAUME KAMILI
ReplyDelete