LADY Jay Dee, Alikiba na Baraka The Prince Waongoza Katika Nyimbo Zilizodownloadiwa zaidi Mkito

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtandao wa kuuza nyimbo za muziki nchini Mkito.Com, umetoa list ya nyimbo 5 za wasanii wa muziki nchini ambazo zimepakuliwa zaidi kupitia mtandao huo ndani ya mwaka 2016.

Mtandao huo umepost hiyo picha (hapo juu) kupitia twitter na kuandika:

Tunapofunga mwaka, hizi ni baadhi ya ngoma zilizowavutia wengi kwa mwaka 2016. Hebu tutajie zako tano ulizozikubali zaidi mwaka huu.

Kwa upande menaja na Alikiba na Barakah The Prince, Seven Mosha baada ya kuona taarifa hiyo ametweet:

Most downloaded @JideJaydee @BarakaThePrince @OfficialAliKiba 

Mtandao huo kwa sasa ni mmoja kati ya mitandao mikubwa nchini Tanzania ambayo inategemewa na wasanii
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad