YOUNG Dee Adai Bado Hajakubalika vya Kutosha Bongo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Young Dee amesema hafikirii kwa sasa kufanya jitihada za kwenda international wakati nyumbani bado hajapenya ipasavyo.

Dee anasema anachoamini ni kuwa msanii hawezi kufanya vizuri kimataifa kama nyumbani bado hafanyi vizuri.

“Kuna sehemu mimi sijafika bado Bongo nahisi, Tanzania ni nchi kubwa sana, kuna East Africa halafu kuna Africa halafu ndio kuna kimataifa. Lazima uanze huko,” Young Dee alimuambia mtangazaji wa Lake FM ya Mwanza, Haroun Tambwe.

“Kabla sijafikiria kujulikana kimataifa, lazima nianze kwanza East Africa ili Tanzania nihakikishe nimetoboa. Kule watakuwa na sababu ya hata kuniassociate na muziki wao kwasababu nitakuwa nakubalika nyumbani
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad