Mwana FA Afungukia Bifu Lake na Lady Jay Dee.....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamuziki Hamis Mwinjuma maarufu Mwana FA au Binamu akifanya mahojiano siku za karibuni jijini Dar es Salaam amezungumzia tofauti kati yake na mwanamuziki mwenzake Judith Wambura maarufu Lady JayDee.

Mwana FA alisema kuwa yeye hana tatizo lolote na Lady JayDee na wala wawili hao hawajawahi kukutana kisha mmoja akamwambia mwenzake kuwa anatatizo na mwingine.

“Kila mtu anafanya shughuli zake na mimi sijawahi kumwambia chochote sababu sina tatizo na yeye, kwa hiyo sioni kama kuna haja ya kupatanishwa sababu naona kila mtu anafanya shughuli zake” alisema Mwana FA.

Mwana FA alisema kuwa kwa sasa yeye na mwanamuziki huyo hawapo karibu kama walivyokuwa kipindi cha nyuma lakini anaamini hakuna tatizo ni kila mtu tu ameamua kufanya kazi zake kivyake.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad