AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwana FA alisema kuwa yeye hana tatizo lolote na Lady JayDee na wala wawili hao hawajawahi kukutana kisha mmoja akamwambia mwenzake kuwa anatatizo na mwingine.
“Kila mtu anafanya shughuli zake na mimi sijawahi kumwambia chochote sababu sina tatizo na yeye, kwa hiyo sioni kama kuna haja ya kupatanishwa sababu naona kila mtu anafanya shughuli zake” alisema Mwana FA.
Mwana FA alisema kuwa kwa sasa yeye na mwanamuziki huyo hawapo karibu kama walivyokuwa kipindi cha nyuma lakini anaamini hakuna tatizo ni kila mtu tu ameamua kufanya kazi zake kivyake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK