AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gazeti la Mwananchi limeripoti kuwa wafanyabiashara wa dawa za kulevya wamebuni mbinu mpya kwa kusafirisha na kuingiza nchini, vibashirifu (kemikali zinazotumika kutengeneza dawa ya kifua) aina ya ephedrine kisha kuvitumia kutengeneza cocaine na Heroin.
Kamanda wa polisi, kikosi cha dawa za kulevya, Mihayo Msikhela amesema kwamba wafanyabiashara hao usafirisha kemikali hizo kutoka bara la Asia na wanapozifikisha nchini hutumia kutengeneza dawa hizo za kulevya.
Kadhalika amesema wafanyabiashara hao hununua kemikali hizo bila kuwa na kibali cha serikali na hudanganya na hudanganya kuwa zitatumika kutengeneza dawa za kifua.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK