AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amesema hiyo ni tofauti na wasanii wengine ambao wamekuwa wakilazimishwa kuacha ili hali wao bado wanaupenda unga na hawapo tarayi kutoka moyoni mwao.
Q Chief alisema hayo alipokuwa akiongea na EATV na kusema jambo la kwanza kabisaa lilimfanya apigane vita na nafsi yake kwanza aliwatazama watoto wake wa kike watatu na kuona hawana furaha kuona baba yao yuko vile.
"Kiukweli mimi nilianza kupigana na nafsi yangu mwenyewe nilianza kujiaminisha kuwa hiki kitu si kizuri kwa afya yangu nataka kuacha, nikasema sasa basi, nina watoto watatu wa kike, mimi ni baba wananihitaji, nina fani yangu na nina mambo mengi ya kufanya". Alisema Q Chief
Mtazame Q Chief hapa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mdau hapo juu una ukweli ni heri pombe kuliko madawa sababu pombe haiwezi kukupeleka jela lakini madawa ukikamatwa nayo unafungwa jela
ReplyDelete