Sakata la Nuh Mziwanda na Shilole Kukutana Mwanza na Kukiss...Nuh Afunguka Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nuhmziwanda amefunguka kuhusu taarifa ya jana(jumatatu) usiku Nuh na Ex wake #Shilole ,walikutana maisha club jijini Mwanza na kuonekana wakiwa wana kiss.
.
#nuhmziwanda amekiri kukutana na #Shilole maisha club mwanza lakini amekanusha vikali kuwa walikiss au kufanya chochote.
.
#nuhmziwanda amesema alikuwa kwenye mishe zake za kufanya show na #shilole alikuja na wasanii wengine kikazi na ndipo wakakutana ila hayo maneno mengine hayana ukweli hata kidogo.

Amesema yeye tayari ameoa na anamheshimu mkewe ambaye alimuacha Dar kutokana na Hali yake ya sasa (ujauzito)hivyo alikwenda kutafuta na si vinginevyo
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad