AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tikitimaji pia ni chanzo kikuu cha protini, mafuta, nyuzinyuzi, wanga, calcium, phosphorus, chuma,vitamin A, B6, C. potasium, magnesium, carotene, anthocyanins na virutubisho vingine vingi katika mwili.
Tunda hili linasaidia mtu kuwa na uwezo mkubwa wa kuimarisha misuli na mfumo wa fahamu kufanya kazi zake vizuri na kuondoa hatari ya kupata shinikizo la damu.
Tiba au faida 13 za tikitimaji kiafya ni nyingi, asilimia 92 ya tunda hili ni maji, hivyo mtu akila anaongeza maji mwilini, lina vitamini A ndani yake, huboresha afya ya macho, kuna vitamini C ndani yake huimarisha kinga ya mwili, husaidia kuponya majeraha, hukinga uharibifu wa seli na huboresha afya ya meno na fizi.
Faida nyingine ya tunda hili ni kwamba lina vitamini B6 ambayo husaidia ubongo kufanya kazi vema, hubadilisha protini kuwa nishati na ni chanzo cha madini ya potasiamu pia husaidia kushusha na kuponya shinikizo la damu, hurahisisha mtiririko wa damu mwilini, huondoa sumu mwilini, huongeza nguvu za kiume hasa ukila pamoja na mbegu zake.
Usikose kula tunda hili kila wiki utaona faida yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
ni kweli ili tunda ni la kipekee,nimejionea mwenyewe linavyoimarisha afya yangu,mwenyezi mungu apewe sifa kwa uuambaji wake.
ReplyDelete