U Heard: Camera ilivyosababisha Beef kati ya Q Chilla na MB Dog

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jana January 11 2016 kwenye U Heard ya Clouds FM kuna taarifa kutoka kwa Soudy Brown kama wewe ni mpenzi wa stori zote za Entertaiment nisingependa upitwe na hii ya kinachoelezwa kuwa ni beef kati ya wasanii Qchilla na MB Dog kutoka kwenye kampuni ya QS Muhonda.

Chanzo cha beef zinaripotiwa kuwa ni upotevu wa Camera ambayo taarifa za mwanzo zinasema kuwa Q Chilla ni muhusika kwenye wizi huo, baada ya Soudy Brown kumtafuta Q Chilla na haya ndiyo yalikuwa majibu yake kutokana na wizi huo wa Camera.

‘Mimi nakaa na wadogo zangu pale nyumbani na hawana tabia ya udokozi ila najua kuna watu wamewekwa kwa ajili ya kunifuatilia na unajua matatizo mimi na MB Dog yalianza kuanzia wake zetu, kwa sababu mimi na Mb Dog tunakaa Apartment moja na haya ni makosa ya QS kutuweka wasanii sehemu moja’ kuhusu camera sisi hatuna shida na camera‘>>>Q Chilla
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad