Wastara Ataja Mambo 5 Ambayo Hatayasahau Katika Maisha yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa filamu nchini Wastara Juma ametaja mambo matano ambayo hatakuja kuyasahau katika maisha yake.


Muigizaji huo amekiambia kipindi cha FNL cha EATV, jambo la kwanza ambalo hata kuja kulisahau maishani mwake kifo cha wazazi wake wote wawili na jambo la pili ni ajali ambayo ilimsababishia ulemavu mpaka sasa hivi.

Jambo la tatu ambalo Wastara ameongeza hatalisahau ni kifo cha mumewe Sajuki na jambo jingine ambalo linamuumiza na hatalisahau wakati alipotumia vyombo vya habari kuchangisha fedha kwa ajili ya matibabu ya mumewe Sajuki ambaye baadaye alifariki dunia.

Wastara ameweka wazi jambo la tano ambalo linamuumiza zaidi kichwa ni kitendo cha mashabiki wake kumchukulia tofauti na alivyo kiuhalisia.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad