AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama na mkewe Michelle wanaendelea na mapumziko yao huko British Virgin Islands, na Jumanne hii waliungana na mwenyeji wao, bilionea wa Uingereza, Richard Branson.
Obama na mkewe walisafiri kutoka Palm Springs walikokaa siku za wikiendi kwenda kwenye visiwa hivyo kwenye private jet ya Branson.
Wawili hao wanaaminika kuwa wamefikia kwenye moja ya visiwa vinavyomilikiwa na bilionea huyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK