Ridhiwani Kikwete Ameizungumzia Hii Picha yake na Mbowe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mechi ya Yanga na Simba jana February 25 2017 ilikutanisha watu mbalimbali na hata wenye Nyadhifa za kisiasa kama Edward Lowassa, Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambao walikutana wakasalimiana.

Leo Ridhiwani Kikwete amepost picha ikimuonyesha uwanja wa taifa akionekana kumgusa Freeman Mbowe ili amsalimie ambapo kwenye caption ameandika
Kaka tusalimiane kidogo kwa afya ya Yanga”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ni wewe tu na roho yako mbaya!

    ReplyDelete
  2. mmh acha zako ww msiwe kila mara mnawaza siasa tu kwani watu hawwezi kusalimiana sasa hapo alichofosi kitu gani hivyo alivyomgusa au acha fikra potofu

    ReplyDelete

Top Post Ad