Vita dhidi ya Dawa za Kulevya: Iddi Azzan, Hussein Pamba Kali na Bosi wa Sea Cliff Watua Central Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aliyekuwa mbunge wa Kinondoni Iddi Azzan, bosi wa Sea Cliff pamoja na watuhumiwa wengine wa sakata la biashara ya Madawa ya kulevya wamefika polisi kituo cha kati kutii wito wa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.

Watuhumiwa 65 wa biashara ya Madawa ya kulevya katika list ya pili ya Mkuu huyo wa mkoa wa Dar es salaam Walitakiwa kuripoti central polisi Ijumaa hii.

Hata hivyo kati ya watuhumiwa hao, Manji pamoja na Askofu Gwajima waliripoti kituoni hapo jana na taarifa ambazo zilizagaa mitandaoni walipelekwa kwa mkemia mkuu kupimwa.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad