Zijue Namba Maalum za Magari ya Viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa Ujumla..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ukiona mtaani gari zimeandikwa ktk plate number kama ifuatavyo usiumize kichwa jua ni hivi:

1. Ngao-Rais, makamu wa rais na waziri mkuu

2. S-Spika wa bunge

3. JM- Jaji mkuu

4. JR- Jaji wa mahakama ya rufaa

5. JK- Jaji Kiongozi

6. J- Jaji wa mahakama kuu

7. XXXX-Mkuu wa majeshi(CDF)

8. CAG-Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali

9. CS- Katibu mkuu kiongozi

10. W mwanzoni inaashiria waziri kisha kifupi cha wizara yake hufuata

11. NW-Naibu waziri

12. DFP-Donor's Fund project

13. ST-Serikali ya Tanzania kisha herufi nyingine hufuata

14. SMZ-Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar

15. PT-Police of Tanzania

16. SM-Serikali za mitaa

17. CD- Magari ya ubalozini

18. SU-Shirika la umma.

19. gari za jeshi pia zina namba zake ambazo zina vifupi vya JW

20. MT-Magereza Tanzania

21. CGP-Commissioner General of Prison(Mkuu wa Magereza)

22. Gari nyingine za umma zina namba zaidi ya moja kwa kazi maalum

NYONGEZA:
Gari za biashara zina plate number nyeupe na zile za matumizi binafsi plate number ya njano.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad