Alichokisem Muimbaji Gwiji Afrika Yvonne Chaka Chaka wa Afrika Kusini Kuhusu Rais Magufuli...!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwimbaji mashuhuri duniani na hasa katika bara la Afrika, Yvonne Chaka Chaka amesema anatamani sana katika maisha yake kukutana na Rais Magufuli. 

Mwimbaji huo amesema Rais Magufuli anaugusa moyo wake kutokana na utendaji kazi wake na ameshauri marais wengine wajifunze kutoka kwake kutokana na utendaji kazi wake.

Amemalizia kwa kumpongeza Mama Salma Kikwete kwa kazi nzuri anazozifanya katika kusaidia watoto hasa wasichana katika kupata elimu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad