Baada ya Kumtukana Diamond Kupitia Instagram Yake.Harmorapa Ameibuka na Hili Dhidi ya Baba Tiffah..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Harmorapa amemuomba radhi Diamond baada ya akaunti yake ya Instagram kutumika kumtukana hitmaker huyo wa Marry You.

Rapper huyo amepost kipande cha video kwenye mtandao huo akisema kitendo hicho hakufanya yeye bali kuna watu walihack akaunti yake hiyo.

“Followers wangu, mashabiki wangu nasikitika kitu kimoja toka asubuhi leo (jana) nashindwa kuingia katika akaunti yangu,” amesema Harmo kwenye video hiyo.

“Kuna watu wamehack akaunti yangu na kupost vitu ambavyo sio vizuri ni vyaajabu sana. Mimi binafsi siwezi kumtukana Diamond wala kumtukana Alikiba pia na P Funk Majani ambaye nipo naye kwenye mizunguko yangu leo kwa Mx Carter kwa kunisaidia kuirudisha akaunti yangu,” ameongeza.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad