Davido: Sipimi Tena DNA...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MKALI wa Miondoko ya Afro Pop, kutoka Nigeria, David Adeleke ‘Davido’ hivi karibuni ameweka wazi kuwa hawezi kufanya tena vipimo vya DNA ili kuthibitisha kuwa mtoto wa kike Veronica ni wake baada ya vipimo alivyofanya awali kuonyesha kuwa si damu yake.

 Akizungumza na vyombo vya habari Nigeria hivi karibuni, Davido aliongeza kuwa mama wa mtoto huyo, anayefahamika kwa jina la Abadan alimpakazia juu ya ujauzito huo na kwamba haukuwa wake jambo alilolielewa tangu awali lakini alitaka tu kuwaridhisha watu ambao hawakuwa wanaamini juu ya hilo kwa kupima DNA.

“Vipimo vya DNA haviwezi kudanganya, huyo mwanaume ni mpigaji tu, anataka pesa za haraka na umaarufu, siwezi kurudia kufanya vipimo hivyo, kwa sasa nipo bize na mambo yangu binafsi,” alimaliza Davido.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad