Diamond Akubali Kuwa na Mtoto Kabla ya Tiffah

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



U-heard ya leo March 10, 2017 inamuhusu Mwimbaji Diamond Platinumz kudaiwa kuwa na mtoto kabla ya Tiffah na Prince Nillan ambapo mtangazaji Soudy Brown kabla ya kuzungumza na kaka wa dada anayedaiwa kuzaa na Diamond aliicheza sauti anayosikika Diamond akikiri kuwa alikuwa na mwanamke Mwanza ambaye aliwahi kusema ana ujauzito wake na mpaka alikuwa akimhudumia  


Kwenye sauti hiyo Diamond amesikika akisema ….>>“Niliwahi kwenda mwanza zamani nilikuwa katika show ya matamasha makubwa nikakutana na mtoto kawaka alikuwa anatokea kwenye chumba cha Brother Dully, akaja kwangu Mimi nikafanya yangu” :-Diamond


“Nilivyorudi huku demu akanambia  ana mimba nikaanza kuhudumia, nikaenda mwanza kumtafuta japo kwao walini-Mind wakaona kama nazingua, nikambana kujua ukweli kama ana mtoto, maana alinidanganya kuwa katoa Mimba,


Nilipomchunguza nikajua kweli amezaa nikamuomba nimuone mwanangu hata kwenye picha ndipo asubuhi akaondoka pale hotelini tulipokuwa ili akaniletee picha nimuone,  alivyoondoka muda wa ndege yangu kuondoka ulikuwa umefika akawa amechelewa kurudi, nilivyompigia simu akakataa kunitumia picha kwa simu” :-Diamond

Soudy brown alipo mtafuta mama wa mtoto pamoja ndugu wa karibu hakufanikiwa zaidi ya kaka wa Dada anayesemekana kazaa na Diamond…..>>“Ni kweli Diamond kazaa na dada yangu, ni mtoto wa mama yangu mdogo, anaitwa Anita anafanya kazi ya Salon na mtoto huyo anafanana na Diamond kila kitu na mtoto ana miaka mitano au sita na mtoto anaitwa Queen yaani ukimuangalia mdomo ule ule japo mama yake kaolewa”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad