Diva Love Afunguka 'Ningekuwa Mwanaume Ningetoka na Jokate Kimapenzi'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM Diva amesema kama angekuwa ni Mwanaume angem’date Jokate kwani anavutiwa sana na muonekano wake wa baby face,pia amekiri kuwa alishawahi kumchangia Charity yake.

Mbali na hilo Diva amefunguka na kusema kuwa hawezi kumuomba msamaha Jokate Mwegelo ingawaje yeye alishawahi kumuona mrembo huyo akimrushia maneno kwenye mitandao ya kijamii.
.
.
. “Siwezi kumuomba msamaha Jokate kwa sababu sijamkosea chochote kama yeye alinikosea aje yeye kuniomba msamaha“Alisema Diva

Miezi kadhaa iliyopita @Divathebawse aliwahi kumtaka Alikiba aachane na @Jokatemwegelo akidai kuwa mwanadada Huyo ndio anamtia gundu king wa bongo fleva
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad