WhatsApp Yasaidia Ndugu Kutambua Maiti Wao...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwili uliokataliwa na ndugu kuchukuliwa katika Hospitali ya KCMC baada ya kukuta umeandikwa jina la mtu mwingine hatimaye umepatiwa ufumbuzi.

Maiti huyo ambaye alibaki hospitalini hapo kwa saa 12, juzi ndugu zake walithibitisha kwamba alikuwa ni ndugu yao baada ya picha iliyopigwa na kutumwa kwenye mtandao wa WhatsApp kusaidia kutambuliwa.

Ndugu hao waliichukua maiti hiyo juzi saa 2:00 usiku na kwenda kuizika eneo la Marangu Samanga.

Akizungumza na mwandishi wetu jana, Roman Mongi, ambaye ni ndugu wa marehemu Frank Mongi, alisema awali waliukataa mwili huo kwa kuwa ndugu yao alikuwa mwembamba lakini maiti ilionyesha alikuwa mnene.

Alisema walipokuta maiti imewekewa lebo yenye jina la Ibrahim Msuya, waliwasiliana na ndugu wa marehemu huyo waliokuwa wilayani Mwanga.

“Walitutaka tuupige picha huo mwili uliokuwa na jina la Ibrahim Msuya, halafu tuwatumie picha kwa WhatsApp. Ndipo wakasema hakuwa ndugu yao na kwamba waliouchukua ndiyo wa kwao,” alisema.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad