Donald Trump Kufanya Mazungumzo na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais Donald Trump atazungumza na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta hivi karibuni kwa njia ya simu. Mazungumzo yao yatakuwa ya kwanza tangu rais huyo wa Marekani apate ushinda katika uchaguzi mkuu uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana.

Uhuru Kenyatta atakuwa rais wa nne wa Afrika kuzungumza na rais huyo kutoka Marekani, Taifa lenye uwezo mkubwa duniani.

Kati ya marais wa Afrika aliozungumza nao kwa njia ya simu ni Rais wa Misri Abdel Fatah al Sisi, Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma na Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari .

Miongoni mwa maswala wanayotarajiwa kugusia ni swala la usalama, Somalia na ukame unaendelea kukumba eneo zima la Afrika Mashariki.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad