Fahamu Mambo Matano ya Kushangaza Kuhusu Tangawizi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


TANGAWIZI ni kati ya viungo mahili vinavyochochea ladha nzuri katika vyakula vya aina mbalimbali na hivyo kuwavutia walaji kula chakula husika.

Tangawizi pia inapowekwa kwenye vyakula vigumu kama nyama huifanya ilainike na hivyo kuweza kuiva kwa haraka zaidi. Hivyo kwa point hiyo tu kwanza utagundua kiungo hiki pia kinaweza kurahisisha umeng'enyaji wa chakula tumboni pia

Wakati tangawizi ikiwa inafahamika zaidi kama kiungo, kwa upande mwingine kiungo hicho huweza kupunguza athari za matatizo mbalimbali ya kiafya pia kama ifuatavyo kwenye orodha hii hapa chini:-

1. Hupunguza maumivu kwa wanawake wakati wa kipindi cha hedhi (Period)

2. Huppunguza maumivu ya mifupa pamoja na misuli kwa ujumla.

3.Inaelezwa kusaidia kuimarisha uwezo wa utunzaji wa kumbukumbu kwa binadamu.

4. Husaidia kutuliza maumivu ya tumbo pia

5. Husifika kwa kuimarisha kinga za mwili na kuufanya mwili kupambana vizuri dhidi ya magonjwa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad