Harmorapa Si wa Mchezo Mchezo,Jina Lake Lawashtua MTV Base ya Afrika Kusini...!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Time ya HarmoRapa kwenye Game muda huu “Kiboko ya Mabisho” imekuwa moto kwelikweli.

Kama ulikuwa ufahamu ukiaachana na ishu  za politics ndiye msanii anayeongoza kwa kutajwa katika Media na headlines mbalimbali za ndani na nje ya nchi.

Harmo ni moto sana hashikiki kwenye Interview this time amealikwa kwenye kitimoto katika kipindi cha “Papo kwa Papo na Papi” siku ya Jumatano.

 Kuingia katika session ya Papo kwa papo na si mchezo hii imedhihirika kutokana na maombi ya watu kupendekeza jina la Harmo akalie kiti cha moto.

Ikiwa hiyo haitoshi kituo cha burudani MTV Base East kupitia mtandao Wa Twitter umemtaja msanii huyo Video yake ya “Kiboko ya Mabishoo” kuwa ndiyo video inayoshika namba moja kwa kuchezwa na kuombwa mara nyingi.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad