AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MASTAA wengi Bongo wamekuwa wagumu kuzungumza chochote kuhusu yanayomkuta Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, mmoja wao akiwa ni Kajala Masanja ambapo yeye alipoulizwa alisema, aachwe kwani mambo ya kiongozi huyo hayamhusu.
Staa huyo aliyewahi kupata ushirikiano mkubwa katika shughuli zake za kisanii kutoka kwa Makonda alipotakiwa kuzungumzia mapito ya kiongozi huyo na kipi angeweza kumshauri alijibu kwa kifupi:
”Hayanihusu jamani.”
Ijumaa: Hayakuhusu vipi wakati alikuwa swahiba wako na amekupa sana sapoti kisanii?
Kajala: Akuuu!
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
walishaachana ndo maana Kajala hataki kumzubgumzia.
ReplyDelete