‘Kada wa Chadema Aliyeuawa Shahidi Kesi Dawa za Kulevya’..!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Wilbroad Mutafungwa amedai kuwa kada wa Chadema,  Anitha Kimario (44) aliyeuawa  alikuwa awe shahidi katika kesi moja dawa za kulevya.

Mutafungwa amesema kiini cha mauaji hayo kinachunguzwa.

Shauri hilo linamhusisha kinara wa usafirishaji wa bangi kwenda nchini Kenya, kupitia njia za panya zilizopo mpakani wilayani Rombo.

 Kamanda Mutafungwa amesema polisi wanachunguza mazingira ya mauaji hayo ili kubaini waliohusika, huku akisema watu wawili wanashikiliwa kwa mahojiano.

Mutafungwa amesema juzi jioni polisi waliokota mwili wa mwanamke huyo ambaye pia ni mfanyabiashara ukiwa umetupwa kwenye mashamba ya miwa.

“Tulipofika eneo la tukio tulikuta mwili wake ukiwa umewekwa kwenye matuta ya kupandia miwa ukiwa umefunikwa na majani na udongo, umevuliwa nguo na kubaki na za ndani,” amesema.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad