Sophia Simba Aiaga UWT..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT), Sophia Simba leo amesema hana mpango wa kugombea nafasi hiyo kwa mara nyingine katika uchaguzi ujao.

Simba amesema hayo wakati wa mkutano wa wanawake wa CCM uliofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya manispaa ya Temeke.

Kabla ya mkutano huo yeye pamoja na wajumbe walitembelea wodi ya wazazi  ya hospitali ya Temeke na kufanya usafi.

"Leo wakati tukiadhimisha wiki hii muhimu ya wanawake duniani napenda kutumia fursa hii adhimu kuwatangazia wanachama wanawake wa CCM kwamba kwa hiari yangu mwenyewe nimeamua kutogombea nafasi hii ya uenyekiti taifa katika uchaguzi ujao",amesema.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad