Kenya Kuajiri Madaktari Kutoka Tanzania..Kisa Mgomo wa Madaktari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


KENYA: Mwenyekiti wa Baraza la Magavana, Peter Munya ametangaza kuwa Serikali itaajiri madaktari kutoka Tanzania, Ethiopia na Cuba ndani ya wiki 3 zijazo.

Madaktari hawa wa kigeni wataajiriwa ili kuchukua nafasi ya madaktari walio katika mgomo uliodumu kwa siku zaidi ya 90 wakidai kuongezewa malipo.

Akiongea katika mkutano huko Naivasha, Munya aliwaambia madaktari ambao bado hawajarudi kazini waende kusaini makubaliano ya utambulisho katika Serikali za Kaunti zao.

Haya yamekuja siku moja tu baada ya Rais Kenyatta kusema kuwa wanachofanya madaktari hao ni 'blackmail' na wanachokitaka ni kikubwa mno na hakiwezi kufanywa ndani ya usiku mmoja.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad