AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jukwaa la Wahariri Tanzania limelaani kitendo kilichofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar na kutangaza atakayeshirikiana naye, *hawatarusha matangazo yake.*
"Utekelezaji agizo la kutokufanya kazi na RC Dar unaanza mara moja kwa vyombo vyote vya habari nchini, uamuzi huu waungwa mkono na UTPC"-TEF.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tehetehe...KUVUJA-KWA-PAKACHA-NAFUU-YA-MCHUKUZI.......afadhali apumue mtoto wa watu, maana mlizidi, kila-leo-Makonda, Makonda, hasa Tanzania Daima, hawakosi kumwandika, kila siku wanamweka front page .........inahuuuuuu babu!! ANGALAU-ATAKULA-NA-KULALA-KWA-RAHAZAKE
ReplyDeleteSasa nyinyi Clouds mnajifanya 'masikini-jeuri' au mnafuata mkumbo tu?? Vipi kuhusu ule uwanja wa kuchezea ligi yenu ya 'ndondo-cup' unaosimamiwa na Mh. Makonda nao mmeususia ama nene......., au ile siku ya uzinduzi mtazima kamera na mike zenu! hahahah ukisikia stori ya popo kulikojolea jua, ndio hiiii.......
ReplyDeleteHatishiwi mtu nyau hapa, maisha yalikuwepo kabla ya vyombo vya habari, kulikuwa na redio moja na gazeti moja tu, na bado watu tulipata taarifa....acheni hizo, hao ni marafiki wamegeukana na nyie mnalivalia njuga, au mmetumwa? Nani asiyejua kama Makonda anawalinzi wenye bunduki, kuongozana nao usiku imekuwa shida, mnampakazi eti 'kavamia'.....nani alipigwa?
ReplyDeleteMnaita 'kuvamia' ili lionekane tukio kuuuuuuuubwa! Mnajua kuvamiwa nyie au mnasema tu, baada ya 'kuvamia' akamjeruhi nani? MSIYE MPENDA BADO YUPO YUPO SANA
ReplyDelete