Kimenukaa..Hospitali ya Apolo ya India Yasitisha Kupokea Wagonjwa Kutoka Tanzania,Sababu ni...!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hospitali ya Apollo India huenda ikasitisha kupokea wagonjwa kutoka nchini Tanzania kutokana na deni kubwa inayodai.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema hayo leo wakati alipokuwa akizindua bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Tiba ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI).

Waziri Ummy amesema Apollo inadai Tanzania kiasi cha shilingi bilioni 30 na kwamba wameshaanza kulipa deni hilo.

"Tulikuwa tunapeleka wagonjwa wengi kufuata matibabu nje ya nchi, tumeanza kulipa deni hilo na tunashukuru idadi imepungua hadi wagonjwa 304 mwaka 2016 kutoka wagonjwa 533 2015 sawa na asilimia 45.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad