AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
BAADA ya mkewe, Nawal kujifungua mtoto wa kike, Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ ameamua kumzawadia wimbo ikiwa ni njia ya kumshukuru kwa kuwa ni mwanamke wa kipekee kwake kuliko aliowahi kutoka nao kabla hajaingia kwenye ndoa.
Akichezesha taya na Mikito Nusunusu, Nuh alisema anajivunia kupata mtoto wa kike aliyempa jina la Anyagile japokuwa alitamani angepata wa kiume lakini hana budi kumpokea kwa furaha ndiyo maana ameamua kumzawadia mkewe wimbo unaokwenda kwa jina la Anameremeta.
“Namshukuru Mungu kwa kunipa mtoto Jumatatu iliyopita, siku iliyofuata nikatoa wimbo huo ambao ni zawadi kwa mke wangu kwani ni mwanamke wa tofauti kwangu kwani kanizalia mtoto mzuri ambaye ndiye wa kwanza kwangu, nina furaha sana kwa kweli,” alisema Nuh Mziwanda.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK