Msanii Mkubwa Marekani Will Smith Atua Bongo Kimya Kimya na Kujichimbia Zake Katika Mbuga ya Serengeti Akila Bata na Kushangaa Tembo..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Tanzania ina ugeni mzito wiki hii.Muigizaji mashuhuri wa filamu, Will Smith amekuja nchini kwaajili ya mapumziko. Staa huyo wa Suicide Squad, yupo kwenye mbuga ya wanyama ya Serengeti akifurahi uumbaji wa Mungu.

Hata hivyo imebainika kuwa Smith si staa pekee wa Marekani aliyepo Tanzania. Supermodel wa Marekani, Chanel Iman naye amejumuika.
Kwenye Instagram, amepost picha akiwa na Will Smith mbugani Serengeti na kuandika: Great places with great friends and Will is One of the coolest.”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huyu sijui nani lkn siyo mke wake mmhh napita tuu naenda mbagala kuuza dagaa

    ReplyDelete

Top Post Ad